Main Article Content

Ubainishaji wa Mitindo katika Methali za Wamasaaba nchini Uganda


Willy Wanyenya

Abstract

Makala hii inafafanua mitindo katika methali za Wamasaaba nchini Uganda. Lengo kuu la makala ni kueleza jinsi methali za Wamasaaba zinavyotumia mitindo mahususi kuwasilisha ujumbe kwa jamii. Utafiti huu umefanyika uwandani. Utafiti umeongozwa na Nadharia ya Uelewaji Ujumbe kwa kutumia lugha ya moja kwa moja. Matokeo ya utafiti huu yanaonesha kuwa mitindo katika methali za Wamasaaba inahusiana na: uteuzi wa maneno, idadi ya maneno katika methali, matumizi ya maneno ya kawaida, urejeleaji wa vitu vya kawaida, matumizi ya lugha kisanaa na matumizi ya maelezo katika methali badala ya maswali.


Journal Identifiers


eISSN: 0856-552X
print ISSN: 0856-552X